Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wakiapa Kiapo cha Maadili
JamhuriComments Off on Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wakiapa Kiapo cha Maadili
Waheshimiwa Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wakiapa Kiapo cha Maadili kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025.