Latest Posts
Taasisi ya Mama Ongea na mwanao yaweka tabasamu kwa watoto wenye mahitaji maalumu
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wametoa Baskeli za 250 kwa watoto wenye mahitaji maalumu (Walemavu) 250 ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao za kupata elimu . Akizungumza na Waandishi…
UVCCM waiomba Serikali kuufungia mtandao wa Twitter
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumuiya ya Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeiomba Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuufungia mtandao wa Twitter (X) kutokana na maudhui yake kutokuendana na mila na…
Breaking News: Makamu wa Rais wa Malawi afariki Dunia
Na Isri Mohamed Mwili wa Makamu wa Rais wa Malawi, Saulos Chilima na watu wengine tisa imepatikana baada ya vikosi vilivyokuwa vikiitafuta ndege iliyowabeba kufanikiwa kupata ndege hiyo huku wakiwa wamefariki. Baada ya kuthibitishwa kwa taarifa hiyo, Rais wa Malawi,…
UNICEF: Karibu watoto milioni 400 wananyanyasika majumbani
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limesema makadirio ya watoto milioni 400 walio chini ya umri wa miaka mitano wanakabiliwa na manyanyaso majumbani. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limesema makadirio ya watoto milioni…





