JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zaidi ya bilioni 80/- zasambaza umeme vijiji mkoani Singida

📌 Kapinga apeleka shangwe za umeme Maswauya na Mdilu Singida Kaskazini 📌 Asema hayo ni matokeo ya uchapakazi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan 📌 Mbunge apongeza Serikali kwa miradi ya maendeleo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Naibu waziri wa Nishati,…

Basi la Struggle lakamatwa kwa kuzidisha abiria 33

Na Abel Paul,Jeshi la Polisi -Arusha Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limefanya operesheni maalum iliyolenga kutoa elimu na kufanya ukaguzi wa mabasi ambayo yatoa huduma Mkoani humo huku likimkamata dereva Sostenes Mgaya (42) Mkazi wa…

Benki ya Akiba yaadhimisha Siku ya Mazingira kwa kuzindua viunga vilivyoboreshwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabir Shakimweri ameipongeza Benki ya Akiba kwa juhudi na jitihada zake katika kuboresha na kuhifadhi mazingira na kusistiza taasisi nyingine kuiga mfano huo . Pongezi hizo amezitoa leo Dodoma…

Gavana Bwanku akagua ujenzi bweni la wasichana sekondari Bujugo, achangia mifuko saba ya saruji

Afisa Tarafa (Gavana) wa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku leo Jumatano Juni 05, 2024 akiambatana na Diwani wa Kata ya Bujugo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba Vijijini Mhe. Privatus Mwoleka,…

Siku ya Mazingira Duniani, TAWIRI yabainisha mchango wa wadudu kwenye mazingira

Na Mwandiahi Wetu, JamhuriMedia, Dodooma Ikiwa leo tarehe 05.06.2024 ni maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambapo Kitaifa yamefanyika Jijini Dodoma, Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) imebainisha mchango mkubwa wa wadudu mbalimbali akiwemo nyuki katika Mazingira. Akitoa elimu…

John Bocco: Shuja anayeishi, rekodi yake haitasahaulika

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Siku moja ukipata nafasi ya kukaa na mjukuu wako kupiga nae stori ya mashujaa wa soka la Tanzania basi usiache kumuelezea kuhusu John Raphael Bocco, ambaye jana amestaafu rasmi kuutumikia mpira kama mchezaji…