Mabalozi SADC waunda umoja Qatar

Mabalozi wa nchi za SADC walioko Qatar wameunda umoja unaolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kimaendeleo na taifa hilo tajiri la Mashariki ya Kati ambalo ni moja kati ya wazalishaji wakubwa wa gesi asilia duniani. Ikiwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Tanzania kupitia Balozi wake nchini Qatar, Fatma…

Read More

Rais Magufuli usiogope, tembea kifua mbele

Mwezi mzima wa Oktoba tumeadhimisha na kushiriki kwenye makongamano mbalimbali ya kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa.  ‘Vumbi’ la makongamano na maneno mengi kwenye vyombo vya habari, mitandaoni na vijiweni sasa limetulia, lakini limeacha mambo ya kufikirisha. Naamini litakuwa jambo jema Watanzania tukibadili mtindo wa kumuenzi Mwalimu Nyerere ili sote tunaothamini…

Read More

Rais wangu utatukuzwa kwa mema yako (2)

Baba Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, mjukuu wako, yaani binti yangu amejiunga Chuo Kikuu Mlimani kwa mwaka wa kwanza akichukua Sayansi na Teknolojia. Amesoma  kidato cha tano na cha sita Ifakara High School – shule ya Serikali. Amenyimwa mkopo eti zamani akiwa madarasa ya chini aliwahi kusoma shule ya kulipia. Mungu ailaze mahali pema peponi, roho…

Read More

Unafahamu nini kuhusu uwakala?

Wapo mawakala na wapo wanaohitaji kuwa mawakala. Kwa sasa biashara ya uwakala ni moja ya biashara kubwa nchini. Wapo mawakala katika mitandao ya simu kama Tigo, Airtel, Voda n.k.  Mawakala wa kampuni za usafirishaji kama mabasi, malori n.k, na makampuni mengine mengi. Mtindo wa biashara ya uwakala umekua sana katika siku za hivi karibuni.  Ni…

Read More

ISHI NDOTO YAKO (2)

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii tuliona kuwa mtu unapaswa kuishi kwa kufuata ndoto yako. Ndoto  yako isiongozwe  na maneno  ya watu.  Acha  wakuseme  wawezavyo  lakini  wewe  pambana  kutimiza  ndoto  yako.  Acha  leo  wakuone  kichaa  ili  kesho  wakushangae. Endelea… Ishi  kabla  ya  kufa. Kuna  watu  wanakufa  kabla  ya kuishi. Kivipi watu wanakufa  kabla ya…

Read More