Bilionea Friedkin alipa
Kampuni za bilionea raia wa Marekani, Dan Friedkin, zilizonaswa kwenye kashfa ya ukwepaji kodi, zimeweka Sh bilioni 50 kwenye akaunti maalumu ya Serikali ya Tanzania. Habari za uhakika zinaonyesha kuwa pamoja na kulipa kiasi hicho, kuna fedha nyingine nyingi zilizoingizwa kwenye akaunti hiyo kama sehemu ya malipo kutokana na ukwepaji kodi mbalimbali. Kashfa ya ukwepaji…