Latest Posts
Utekelezaji mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wafikia asilimia 94.78
Mashine mbili za Megawati 47O zimeshafungwa, majaribio yameanza Ujazo wa maji watosha kuanza kuzalisha umeme Dkt. Biteko asema kipaumbele ni upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rufiji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….
Vitendo vionekane mapambano afya ya akili
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita Maneno matupu hayavunji mfupa. Msemo huu hulenga kuihamasisha jamii kuchukua hatua sahihi za kiutendaji ili kufikia malengo kusudiwa badala ya kuzungumza sana pasipo utekelezaji wowote. Kwa muda mrefu jamii imekuwa na mtazamo wa shaka katika…
Rais Mwinyi aridhia uwanja wa Amaan kuitwa ‘ New Amaan Sports Complex’
Na Brown Jonas, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameridhia ushauri wa kuubadili jina uwanja wa Amaan na kuitwa “New Amaan Sports Complex” wakati wa uzinduzi wa awamu ya tatu…