Latest Posts
Dk Mwinyi azindua vitalu vya uwekezaji mafuta na gesi asilia
Na Fauzia Mussa, Maelezo Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapuinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inatoa fursa kwa wawekezaji katika sekta ya Mafuta na Gesi Asilia ili kuweza kutekeleza shughuli hizo. Akizindua duru ya kwanza…
Mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM Kata ya Bukundi aibuka kidedea
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Meatu Mkoa wa Simiyu Bw. Athumani Masasi amemtangaza Bw. Yunusi Kilo Ally wa CCM kuwa mshindi wa Udiwani katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani Kata ya Bukundi kwa kupata kura 2,182 na kumshinda Bw. Joseph Masibuka…
Clara Luvanga mfungaji bora Al Nassr
Na Isri Mohamed Mtanzania Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr huko nchini Saud Arabia ameibuka kuwa mfungaji bora wa ligi ya wanawake nchini humo. Luvanga ambaye klabu yake ya Al Nassr ladies imechukua ubingwa wa ligi,…
Serikali yasisitiza umoja kwa Simba, Yanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo imewaonya baadhi ya Watanzania ambao wamekuwa na tabia ya kuzipokea na kuzishangilia timu ngeni zinapokuja kucheza na timu za Tanzania kuacha tabia hiyo kwani inarudisha nyuma juhudi…
Treni binafsi za mizigo kuanza TAZARA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) limesaini mkataba na sekta binafsi ya kuleta treni ambazo zitabeba mizigo kutoka bandarini na kupeleka nchi jirani. Mkataba huo umesainiwa Machi 20, 2024 Makao Makuu…
CCM yashinda udiwani Kigoma Ujiji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kiti cha udiwani katika Kata ya Kasingirima Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya mgombea wa chama hicho Mlekwa Mfamao Kigeni kuibuka mshindi kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kwenye kata hiyo…