Tusipotoshe kauli tukaiharibu nchi

Siku ya Ijumaa ya Agosti 9, mwaka huu nilipigiwa simu na marafiki zangu wawili kwa nyakati tofauti na kutoka maeneo tofauti. Simu ya kwanza ilitoka maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam na simu ya pili ilitoka jijini Mwanza kule Usukumani. Katika simu zote mbili hizi ujumbe ulikuwa mmoja “…Brigedia Jenerali, umesoma gazeti [nalihifadhi] la Jumatano…

Read More

Kiswahili kimepandishwa hadhi na SADC

Mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern African Development Community, kwa Kiingereza, au SADC kwa kifupi), uliyomalizika Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, mwaka huu umeidhinisha matumizi ya lugha ya Kiswahili kama lugha rasmi ya nne ya Jumuiya hiyo. Lugha nyingine rasmi za SADC ni Kiingereza,…

Read More

Kwanini Bageni anyongwe peke yake kati ya watu 13?

Walioshitakiwa walikuwa 13, SP Christopher Bageni, ACP Abdallah Zombe, ASP Ahmed Makele, PC Noel Leornard, WP 4593 Jane Andrew, CPL Nyangerela Moris, PC Michael Shonza, CPL Abeneth Saro, DC Rashid Mahmoud Lema, CPL Emmanuel Mabura, CPL Felix Sandys Cedrick, CPL Rajab Hamis Bakari na CPL Festus Philipo Gwabisabi. Kwanini wameshitakiwa watu wote hawa halafu mtu mmoja ndiye…

Read More

Ukipoteza muda, muda utakupoteza zaidi

Maisha huwa hayana maana iwapo mwanadamu anaishi tu, siku nenda, siku rudi bila ya kugundua au kujifunza japo jambo moja jipya kila siku. Uamkapo asubuhi, utembeapo barabarani, ulalapo kitandani yafaa ujiulize: ‘Unaishi na mawazo yanayoishi au yaliyokufa?’ Maisha ni kufikiri, binadamu wote tuna fursa ya kufikiri, haijalishi unafikiri nini, lakini unafikiri. Kinachotokea katika maisha yetu…

Read More

MAISHA NI MTIHANI (43)

Ukiomba mvua usilalamike kuhusu matope   Kulalamika ni mtihani. Unaweza kulalamika kuwa maua aina ya waridi yana miiba au kusifu kuwa miiba ina maua. Kuna mtoto aliyewalalamikia wazazi kuwa hawamnunulii viatu. Aliacha kulalamika alipoona mtu ambaye hana miguu, kuna makundi ya watu yanayolalamika kila mara: wale wasiopata wanachokistahili na wanaopata wanachokistahili. “Baadhi ya watu wanalalamika…

Read More

Tusibweteke kwa elimu bure

Julai 3, mwaka 1964 Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alizungumza na watoto katika Ikulu ya Dar es Salaam. Kupitia mazungumzo hayo, alizungumza pia na watoto wote nchini kwa njia ya redio. Aliwaeleza watoto wajibu walionao kwa wakati huo, ikiwa ni maandalizi ya wao wakiwa wakubwa kubeba mzigo mkubwa wa kuleta maendeleo ya taifa…

Read More