Latest Posts
Matinyi-Mikoa na Halmashauri zianike mambo makubwa yanayofanywa na Serikali
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKURUGENZI wa idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ,ameielekeza mikoa na halmashauri hizo, kueleza makubwa yanayofanywa na Serikali ili kuondoa maswali kutoka kwa wananchi juu ya utekelezaji wa miradi ya…
Tanzania, Indonesia zaanza ushirikiano kwa vitendo sekta ya madini
Bandung, Indonesia. Wataalam wapatao 20 kutoka Wizara ya Madini na Taasisi zake wameanza rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala mbalimbali ikiwemo utafiti, usalama wa makaa ya mawe pamoja na madini mengine katika Kituo cha Human Resource Development Center Geology,…
Dk Biteko : Tumsaidie Rais Samia kujenga nchi
#Dkt. Biteko Asisitiza amani na upendo Ujumbe wa Marafiki waliosoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (Mb) ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dkt. Biteko kwa kuteuliwa…
Tume ya Madini yaja na mikakati mipya ya ukusanyaji wa maduhuli
Yapitisha maombi mapya 7596 ya leseni za madini kuanzia Julai hadi Septemba, 2023 Mhandisi Samamba awataka watanzania wengi kuwekeza kwenye Sekta ya Madini Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia Ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa…
TANESCO kujenga kituo kidogo cha umeme Ushetu
#Kutumia shilingi Bilioni 12 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) lina mpango wa kujenga kituo kidogo cha umeme (Switching Station) kwenye Wilaya ya Ushetu eneo la Nyamirangano ili kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme wilayani humo….