Latest Posts
MSD: Kuna haja kuwa na mifuko ya akiba ya kuhifadhia damu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari ya Dawa (MSD), imesema kuna haja ya kuwa na akiba ya mifuko ya kuhifadhia damu itakayodumu kwa kipindi cha kuanzia miezi mitano hadi tisa, kuepuka kuadimika kwa bidhaa hizo. Kauli hiyo ya…
Wakili Malando ajitoa kesi ya mirathi Nzega, adai kuwepo mgongano wa maslahi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Wakili Edward Malando aliyekuwa akimwakilisha Salma Mohammed kwenye shauri la ndugu wanaovutana kwenye mirathi ya Zena Jalakhan amejitoa kwenye shauri hilo. Wakili Malando ametaja sababu za kujitoa kwenye kesi hiyo kuwa ni mgongano wa maslahi.Hata…
Milima ya Udzungwa inavyogeuzwa bustani ya furaha, amani
Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Morogoro Hifadhi ya Taifa ya Safu za Milima ya Udzungwa ipo kwenye hatua za awali za ujenzi wa njia ndefu ya utalii ipitayo juu ya miti maarufu ‘canopy walk away’ itakayosababisha ongezeko la watalii wa ndani…
Serikali kuyaendeleza makazi ya Mwalimu Nyerere
Serikali imedhamiria kuyafanya makazi ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yaliyoko kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama mkoani Mara kuwa kituo cha utalii. Hayo yalisemwa jana (Jumanne, Februari 27, 2024) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza na…