JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TASAC yapata mafanikio makubwa kutoka bil.9.1/- hadi bil. 43.4/- kutokana na usikivu wa Serikali

Usikivu wa Serikali umeiwezesha TASAC kuongeza gawio kutoka bil.9.1 hadi bil.43.4 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesema usikivu wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu…

CBE yasisitiza kuzingatia huduma bora kwa wateja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka walimu na wafanyakazi wa chuo hicho kuboresha huduma kwa wateja na kujiandaa kutoa mafunzo kidijitali ili kuendana na ongezeko kubwa la wanafunzi linalokua mwaka hadi mwaka. Hayo yalisemwa…

Jokate Mwegelo: Kutoka Miss Tanzania, Muigizaji, DC hadi Katibu Mkuu UWT

Na Isri Mohamed Jamhuri Media Dar es Salaam. Oktoba 01, Chama Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana katika kikao chake maalumu  jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wake na Rais Samia Suluhu Hassan imemteua…

Spika Dk Tulia ashiriki mkutano wa Jumuiya ya Madola Ghana

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Tulia Ackson, leo tarehe 5 Oktoba, 2023 ameshiriki Mkutano wa 66 wa Kibunge wa Jumuiya ya Madola (CPC) unaoendelea katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Accra nchini Ghana wenye…

Wizara ya Maliasili na Utalii yazidi kuwa tishio, SHIMIWI yang’ara kwenye riadha

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Iringa Wizara ya Maliasili na Utalii imeibuka mshindi namba moja kwenye mbio za mita 3000 na 800 na kutinga fainali kwenye mbio za mita 400 huku ikiingia nusu fainali kwenye mbio za mita 200 katika mashindano…

Waziri Mavunde ainadi Visioni 2030 kwa Taasisi za fedha, wadau

Zaeleza ziko tayari kushirikiana na Serikali, Wachimbaji Dkt. Mwasse Azitoa Hofu Taasisi za Fedha , Aeleza namna STAMICO ilivyosimama Kati Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia Waziri wa Madini Anthony Mavunde ameichambua Vision 2030: Madini ni Maisha na Utajiri na kuinadi kwa…