Latest Posts
Miradi yenye thamani ya bil 27.4/- yapitiwa na mbio za mwenge wa uhuru Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 Wilaya ya Temeke umekimbizwa umbali wa KM 81.78 Kukagua, kuweka jiwe la msingi, pamoja na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo. Aidha Mwenge wa Uhuru 2024 umeendelea kutoa…
Magonjwa yasiyoambukiza yanachangia vifo kwa asilimia 33 nchini – Dk Mpango
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MAKAMU wa Rais, Dkt.Philip Mpango ameeleza magonjwa yasiyoambukiza yanachangia vifo nchini kwa asilimia 33 ikiwemo kisukari na shinikizo la damu. Ameeleza katika miaka ya 1980 ni asilimia moja tu ya watanzania waliokuwa wakisumbuliwa na ugonjwa…
Wafugaji kuku Ihemi wanufaika na mafunzo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa WADAU wa mnyororo wa thamani katika sekta ndogo ya kuku wameonesha kuridhishwa na mafunzo ya ufugaji kuku kisasa yanayotolewa Kituo cha SilverLands Tanzania Limited (T-PEC). Wakizungumza kwa nyakati tofauti wadau katika mnyororo wa thamani wa…
Serikali : Miliki ubunifu ni nyenzo muhimu katika kukuza uchumi, biashara nchini
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema Miliki Ubunifu ni nyenzo muhimu katika kuendeleza na kukuza uchumi na biashara nchini. Hayo yameelezwa leo Mei 9, 2024 na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma wakati wa…
Ma -DC, Ma-DAS wahimizwa kutenda haki kudumisha amani na mshikamano nchini
📌Dkt. Biteko awataka kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa kuzingatia sheria 📌Asema maamuzi yao yasiwe ya upendeleo 📌Aelekeza kuandaa mkakati thabiti wa kutatua migogoro ya ardhi 📌Wakafanyie kazi mapendekezo ya ripoti ya Haki Jinai Na Ofisi ya Naibu Waziri…





