Latest Posts
RRH zashauriwa kufanya maboresho kama Muhimbili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waganga Wafawidhi wa Hospitali za Rufaa za Mikoa na Waganga Wakuu wa Wilaya wameshauriwa kuiga mfano wa maboresho yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa lengo la kuboresha hospitali hizo zaidi ya ilivyo…
Prof. Mhando ang’atuka ZIFF, mikoba yake akabidhiwa mtoto wa Prof. Shivji
Na Andrew Chale, JamhuriMedia, DarTAMASHA la Kimataifa la Filamu la Zanzibar [ZIFF]mapema leo Oktoba 3,2023 limemtambulisha rasmi mwongoza filamu Amil Shivji kuwa Mkurugenzi mpya wa tamasha hilo, ambalo ni miongoni mwa matamasha kongwe Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, likiwa na…
Majaliwa atatua mgogoro wa ardhi Jiji la Mwanza
*Aruhusu ghorofa lijengwe, wawili wasimamishwa, mmoja arudishwa Wizarani Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Elikana Balandya awasimamishe kazi watumishi wawili wa Jiji la Mwanza huku akiagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi mkoa…
Mgonjwa mwenye jinsia mbili atolewa jinsia ya kike Hopitali ya Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke imefanikiwa kufanya upasuaji wa kutoa viungo vya uzazi vya kike kutoka kwenye korodani ya mgonjwa wa jinsia mbili mwenye muonekano wa jinsia ya kiume. Upasuaji huo ulifaywa na jopo…