Latest Posts
Bajeti 2025/26; miradi mikubwa yathibitisha mafanikio ya awamu ya sita
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha bajeti ya mwisho ya kipindi cha kwanza cha uongozi wa Awamu ya Sita kwa mwaka wa fedha 2025/26. Kupitia hotuba ya Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, mafanikio makubwa ya miradi ya kimkakati yamewekwa…
Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…
Tanzania kusimamia mkondo wa Pemba na ikolojia ya bahari kujenga uchumi wa bluu imara
Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha usimamizi endelevu wa mkondo wa Pemba pamoja na ikolojia ya baharini kwa ujumla. Amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa pembezoni uliyohusu…
Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…
Sanaa, umeme, mawasiliano zaongoza ukuaji wa sekta 2024, kilimo, ujenzi na madini zatajwa msingi wa Pato la Taifa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetaja sekta tano zilizoongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi nchini mwaka 2024 kuwa ni sanaa na burudani, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme, habari na mawasiliano, pamoja na fedha na bima na afya. Akizungumza…