JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wadau EITI wajadili fursa mbalimbali za madini

SHARE  *Dakar, Senegal*  Mkutano wa Kimataifa wa Asasi ya Kimataifa ya Uwazi na Uwajibikaji _*(EITI – Extractive Industry Transparency Initiative)*_ uliofanyika Jijini Dakar nchini Senegal kuanzia tarehe 13 -14 Juni 2023 umejadili fursa mbalimbali kwenye Sekta ya Madini ikiwemo namna…

Tanzania yawakaribisha wawekezaji kutoka Urusi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Serikali ya Urusi kuwekeza nchini kwa maslahi ya pande zote mbili na ustawi wa dunia kwa ujumla. Mwaliko huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na…

Hospitali ya Muhimbili-Mlogazila yawawekea puto wagonjwa 87

Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dodoma Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila imeendelea kuboresha huduma zake za kibingwa ya kibobezi ambapo hadi sasa imeweza kuwawekea puto (Intragastric ballon) wagonjwa 87, tokea kuanza kwa huduma hiyo hivi karibuni hapa nchini. Hayo yamebainishwa…

Mpango afanya mazungumzo na mkuu wa Taasisi ya Korea ya Bahari

– Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Taasisi ya Bahari ya Korea (Korea Maritime Institute) Dkt. Kim Jong-Deog, Mazungumzo yaliofanyika Jijini Dodoma leo tarehe 15 Juni…