Latest Posts
PPRA,TAMISEMI kuwafunda matumizi ya mfumo NeST
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma MAMLAKA ya Udhibiti wa ununuzi wa Umma (PPRA)kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais (TAMISEMI)wameandaa semina kazi kwa ajili ya kuhakikisha wakurugenzi wanazingatia sheria za manunuzi kupitia Mfumo wa ununuzi wa Umma wa kielektroniki ujulikanao kama NeST…
Wazazi waaswa kujenga ukaribu kwa watoto ili kufichua yanayowakabili
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZAZI na walezi Mkoani Pwani wameaswa kujenga ukaribu kwa watoto wao pamoja na kuwapa haki ya kujieleza pale inapobidi ,ili waweze kufichua Yale ambayo yanawakabili hasa kwenye vitendo vya unyanyasaji wa watoto. Aidha jamii imetakiwa…
Mchatta: Walimu wa kiingereza watakiwa kusambaza ujuzi wa somo hilo kwa wengine
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Katibu tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta ametoa wito kwa Walimu wa msingi wa somo la Kiingereza (English) ,kusambaza ujuzi wa somo hilo kwa walimu wenzao katika kipindi hiki ambacho Serikali inatarajia kutekeleza mtaala…
Angalia matokeo darasa la saba 2023
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), leo Novemba 23, 2023 limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika Septemba 13- 14 mwaka huu. Katika matokeo hayo jumla ya watahiniwa 1, 092, 960 sawa na asilimia 80.58 ya watahiniwa 1, 356,…
Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi ujenzi wa Hospitali Wilaya ya Songwe
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Novemba 23, 2023. Wa tatu kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel. Waziri Mkuu pamoja na viongozi wakipiga makofi baada…
NMB yazindua tawi lake Dumila Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro WANANCHI wa Mji wa Dumila wilaya ya Kilosa wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kati ya kilometa 35 hadi 70 kufuata huduma za kibenki, baada ya benki ya NMB kufungua tawi la NMB Dumila….