JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JET yatoa elimu kwa wanahabari juu ya kupambana na uhalifu kwa wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Chama Cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), kimetoa mafunzo kwa waandishi wa habari 20 kutoka Tanzania Bara na Visiwani juu ya kupambana na uhalifu wa wanyamapori . Mafunzo hayo ni ya siku mbili…

Kwaresma: Ubatizo, Kufunga na Tabia Njema

Na Padri Stefano Kaombe Kati ya vipindi muhimu kabisa vya kiliturujia katika Kanisa nikipindi cha Kwaresma, wengi wetu tuna kumbukumbu nyingi kuhusiana na kipindi hiki, hasa kaidadini ya kupakwa majivu siku ya Jumatano ya Majivu, Njia ya Msalaba kila Ijumaa,…

ACT-Wazalendo kuanza mchakato uchaguzi ndani ya chama

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo Kimewashauri wanachama hai waliolipa ada ndani miezi 12 kijitokeza kugombea nafasi mbalimbali za Chama ngazi ya Taifa ambapo zoezi la kuchukua fomu ni kuanzia 14Februar ha 24 ,2024. Akizungumza…

Tanzania mbioni kutumia teknolojia mpya ya utangazaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mapitio ya Kanuni za Utangazaji kuruhusu matumizi ya teknolojia mpya ya utangazaji wa redio kidijitali maarufu kama ‘Digital Sound Broadcasting (DSB)’….