JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Migodi mikubwa yenye ubia na Serikali yachangia trilioni 1.53 hadi Juni, 2023

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Nishati, Madini ataka STAMICO iongezwe nguvu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa hadi kufikia Juni, 2023 miradi ya…

Watakiwa kutumia kalamu zao kuelimisha jamii

Na Mwandishi Wetu- Jeshi la Polisi Maafisa Habari wa Jeshi la Polisi Nchini wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri ili kuwaelimisha Wananchi mbinu mbalimbali za kubaini na kutanzua uhalifu hapa Nchini. Hayo yamesemwa Agosti 21, 2023 Jijini Mwanza na Msemaji wa…