Latest Posts
Ujumbe wa Waziri wa Mambo ya Nje wa India
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mgeni wake Waziri wa Nchi na Mambo ya Nje wa India Mhe.Shri V. Muraeedharan (katikati) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao (kushoto) Balozi wa…
Chalamila uso kwa uso na wananchi Zingiziwa, atatua kero hadi usiku
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Novemba 20,2023 amefanya Mkutano mkubwa wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Singiziwa-Chanika jijini Dar es Salaam ambapo amesikiliza kero na kuzipatia…
NEC yawataka watendaji kuweka utaratibu mzuri utakaoviwezesha vyama vya siasa na wadau kushiriki
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka Watendaji wa Uboreshaji wa Majaribio wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Mkoa wa Mara kuweka utaratibu mzuri utakaoviwezesha vyama vya siasa na wadau wengine wa uchaguzi kushiriki…
Wadau wa afya watakiwa kukomesha tatizo la usugu wa vimelea vya dawa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma WADAU wa afya nchini wametakiwa kuendeleza mapambano dhidi ya tatizo la usugu wa vimelea vya dawa kwa kuongeza uelewa kwenye jamii na kutia hamasa kuhusu usugu wa dawa za binadamu ambao unatishia afya za binadamu duniani…
Watumishi UDOM waaswa kulinda maadili ya utumishi wa umma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Watumishi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameaswa kufuata na kuziishi Kanuni na Maadili ya Utumishi wa Umma ili kuwa na Utumishi wa Umma wenye ufanisi na wa kuheshimika. Hayo yamesemwa leo 20 Novemba 2023 na mwakilishi…
Somo la Kiingereza kuanza kufundishwa kuanzia darasa la kwanza ifikapo 2024
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze UTEKELEZAJI wa kufundisha somo la kiingereza (English)kuanzia darasa la kwanza kufuatia mabadiliko ya mtaala wa elimu ya Msingi 2023 utaanza rasmi January mwaka 2024 . Utekelezaji huo ni hatua itakayomuandaa mwanafunzi kujiimarisha kwenye matamshi na…