JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Muhimbili, Kairuki wasaini mkataba kuongeza wigo upatikanaji dawa zenye ubora sokoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), leo imesaini mkataba wa makubaliano na Kiwanda cha Dawa cha Kairuki (KPTL) kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa dawa Muhimbili Upanga na Mloganzila . Mkataba huo umehusisha maeneo…

Milioni 344 zamaliza kero ya maji vijiji viwili Songe

Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songwe ZAIDI ya watu 6,000 wa vijiji vya Ilasilo na Kongatete Halmashauri ya wilaya Songwe mkoani Songwe, wanatarajia kuondokana na changamoto ya huduma ya maji safi na salama. Ni baada ya wakala wa maji na usafi…

Wakazi Tabora, Mara watakiwa kujitokeza kwenye majaribio ya uboreshaji taarifa za wapiga kura

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora TUME ya Taifa ya uchaguzi imewataka wakazi wa Mikoa ya Tabora na Mara kujitokeza kwa wingi kwenye majaribio ya uboreshwaji taarifa za wapiga kura kwenye mfumo ili kufanikisha zoezi hilo kwa asilimia 100. Wito huo…

Chalamila apokea msaada wenye thamani ya mil. 137/- Ocean Road

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 19, 2023 amepokea msaada wa vifaa tiba vya thamani ya Milioni 137 kutoka katika Familia ya GSM vifaa tiba ambavyo vimeelekezwa katika Taasisi ya ocean road jijini Dar es…