Latest Posts
Macha : CCM itawaweka pembeni wote wanaosaka ubunge, udiwani kwa kuvunja kanuni
Atoa agizo Ofisi za CCM mikoani kuwafuatilia wote *Akemea vikali tabia za kuanzisha ligi za Mbuzi Cup, Ng’ombe Cup kwa lengo la kusaka uongozi huo kabla ya muda_ . *Asema Wanojaribu kutaka Ubunge kwa sasa Chama kitawaweka pembeni wote ifikapo…
Dk Biteko akutana na wazee, viongozi wa dini Bukombe
📌 Awashukuru kwa ushirikiano mkubwa wanaompatia 📌 Awaasa kukemea vitendo viovu katika jamii 📌 Wazee na Viongozi wa dini wampongeza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini kutoka madhehebu…
Waziri Kairuki akagua ujenzi wa mradi wa nyumba Msomera
• Asisitiza Serikali ya Rais Dkt. Samia inalenga kuboresha maisha ya wananchi Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Handeni Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amekagua mradi wa ujenzi wa nyumba katika kijiji cha Msomera Wilayani Handeni kwa ajili ya…
Polisi wapiga marufuku upigaji fataki Arusha, wanaotaka wakachukue vibali
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema Kama ilivyo desturi tunapoelekea kufunga mwaka, kunakuwa na shamrashamra za wananchi kufurahia kumaliza mwaka wakiwa salama na kuingia mwaka mpya, Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linao wajibu kuhakikisha wananchi wanasherehekea kwa amani…





