Latest Posts
Breaking news;Taharuki bungeni, Spika aahirisha Bunge
Katika hali isiyotarajiwa Spika wa Bunge Tulia Ackson ameharisha kwa muda kikao chake wakati wabunge wakiendekea kwenye kipindi cha maswali na majibu leo Juni 27, 2023 baada ya king’ora kinachoashiria kuna jambo la hatari. “Waheshimiwa wabunge hiyo sauti inaashiria tutoke…
Dkt. JK aipongeza Wizara ya Maji kufanikisha TanWIP
Wizara ya Maji imepongezwa kwa kukamilisha Programu ya Uwekezaji katika Sekta ya Maji (TanWIP) 2024-2030 hapa nchini, ambayo utekelezaji wake utakuwa na thamani ya Dola za Marekani Bilioni 15.02 Rais wa mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete…
Jamii yatakiwa kuwekeza kwenye afya ya mtoto kuchochea uchumi wa nchi
Na Dotto Kwilasa, Jamhurimedia ,Dodoma Asilimia 66 ya watoto kuanzia umri wa siku 0 hadi miaka 8 katika jangwa la Sahara wanakabiliwa na kutokuwa na utimilifu wa akili jambo ambalo linaweza kusababisha kuwa na watu ambao hawawezi kuwa na uhakika…
Bajeti Kuu ya Serikali yapita kwa kishindo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania limepitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha wa 2023/2024,ya Shilingi Trilioni 44.39 kwa kura 354 kati ya kura 374 zilizopigwa ambapo kura 20 ni za wabunge…
Prof.Lumumba awataka wasanii vijana kutumia Jukwaa la ZIFF katika ubunifu wa filamu
Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Zanzibar. MWANAMAJINUNI wa Afrika, Profesa Patric Loch Otieno Lumumba ambaye pia akifahamika kama Prof. PLO Lumumba ametoa rai kwa sanii Vijana wa Afrika hususani Afrika Mashariki kutumia jukwaa la tamasha la Nchi za Jahazi (ZIFF) katika…