JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TANROADS Pwani yatoa mapendekezo ya mpango kazi wa bil.52/-

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Wakala wa Barabara mkoani Pwani (TANROADS),imetoa mapendekezo ya kiasi cha fedha sh.bilioni 52.378 katika mwaka wa fedha 2023/2024 ikiwa ni mpango kazi wa matengenezo ya barabara na miradi ya maendeleo. Aidha, TANROADS Pwani,imefanya kazi kubwa kutekeleza mradi…

Makamba: Majadiliano mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia yakamilika

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia  baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya Shell ya Uholanzi na Equinor ya Norway na washirika wao yamekamilika na kwamba sasa…

Yanga SC yamtaka Fei Toto kuripoti kambini haraka

Klabu ya Yanga imemtaka mchezaji wake Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ kuripoti kambini haraka iwezekanavyo mara baada ya klabu hiyo kupokea marejeo ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kuhusu suala la mchezaji. Hayo yamesema kupitia taarifai liyotolewa na…

WCF yatoa msaada kwa watoto wanaofanyiwa upasuaji JKCI

Katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani, wafanyakazi wanawake kutoka Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) wametoa mahitaji mbalimbali kwa watoto wanaopatiwa matibabu ya moyo kwenye Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam Machi 6, 2023. Wanawake hao…

Fei Toto awasilisha ombi TFF kuvunja mkataba

Mchezaji wa Yanga Feisal Salum Abdallah ‘Fei toto’ amewasili katika ofisi za shirikisho la mpira wa miguu Tanzania ‘TFF’ karume, jijini Dar es salaam mapema ya leo kuwasilisha maombi ya kulitaka shirikisho hilo kuuvunja mkataba wake na waajiri wake Yanga…