Latest Posts
Wanne mbaroni kuendesha televisheni mtandao bila leseni
Na Mwandishi wlWetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam kwa kushirikiana na Mamlakazingine za kisheria 3 ,Oktoba hadi 10 , 2025 limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuendesha “Televisheni mtandao” bila kuwa na leseni. Waliokamatwa…
Katibu Mkuu Nishati aridhishwa na kasi ya utekelezaji mradi wa umeme jua Kishapu
📌 Utekelezaji wafikia asilimia 80.4 📌 Awamu ya kwanza kukamilika Desemba 2025 📌 Mhandisi Mramba asema ni jitihada za Rais Samia kuhakikisha wananchi wanapata nishati safi, salama na nafuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga, Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza…
Dk.Mwinyi : Tutaendelea kugharamia vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kikwajuni Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uwezeshaji wa watu wenye ulemavu kiuchumi kupitia ajira, elimu na upatikanaji wa vifaa saidizi endapo atapewa ridhaa ya kuendelea…
Serikali yaendelea kuimarisha huduma za ustawi kwa wazee
Na Jackline Minja – WMJJWMDar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee kwa kuhakikisha kundi hilo linapata huduma…
Tanzania yazindua mradi wa dunia kukabiliana na magonjwa ya mlipuko na dharura za kiafya
📌 Dkt. Biteko ataka utekelezaji wa kuleta matokeo chanya 📌 Mradi kugharimu Dola za Kimarekani milioni 38.7 📌 WHO, FAO, UNICEF na Pandemic Fund zaipongeza Tanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…
ALAF yatoa fursa zaidi kwa wanawake katika uongozi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya ALAF Limited, inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi, imejizatiti kuhakikisha inawajengea wanawake uwezo zaidi wa kushika nafasi za juu za uongozi katika kampuni hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali…