JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wanawake watano wafanyiwa upasuaji kupitia matundu madogo

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na wataalamu wa Alsalam Internatinal Hospital ya nchini Misri, imefanya kambi ya upasuaji wa kupitia matundu madogo (Laparoscopy surgery) kwa muda wa siku mbili, ambapo wanawake watano wamenufaika na matibabu hayo. Akizungumza wakati wa…

FCF kutumia bil.1.2/-kusaidia miradi ya maendeleo na kutoa chakula shuleni

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Arusha Taasisi ya Friedkin Conservation Fund(FCF) imepanga kutumia kiasi cha sh 1.2 bilioni ili kugharamia miradi ya maendeleo ya jamii, ikiwepo ya Elimu na Afya ambayo haikinzani na uhifadhi wa wanyamapori na Misitu, wilayani Meatu…

Tanzania yafungua rasmi ubalozi wake jijini Jakarta, Indonesia

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Ubalozi huo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amesema kufunguliwa kwa Ubalozi huo kutaziwezesha Serikali ya Tanzania na Serikali ya Indonesia kukuza na kuimarisha uhusiano…

‘Fichua wakwepa kodi,upate asilimia tatu’

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia ,Arusha Ili kuhakikisha kodi ya Serikali inatozwa pasipokuacha mianya ya ukwepaji, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), imekuja na sheria ya kutoa kamisheni ya asilimia tatu kwa mtu atakayefanikisha kupatikana kwa kodi iliyokwepwa. Akizungumza kwenye semina ya…

KOFIH yadhamiria kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Halmashauri tisa ,mkoani Pwani zinatarajia kunufaika na awamu ya pili ya mradi unaofadhiliwa na Korea Foundation For Health Care (KOFIH ),mradi ambao unaolenga kupunguza vifo vya uzazi kwa mama na mtoto mchanga. Mradi huu unatarajia kutekelezwa…