Latest Posts
Benki ya NMB yazindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia BENKI ya NMB imeanzisha mpango maalum wenye masuluhisho mahususi kwa ajili ya kuwahudumia wastaafu na wastaafu watarajiwa unaoitwa NMB Hekima Plan. Utaratibu huu ambao lengo lake kubwa ni kusaidia kuenzi mchango mkubwa wa watumishi hawa katika…
Serikali yakanusha uvumi kuhusu uwepo wa kiwanda cha kutengeneza mayai Goba
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi inakanusha taarifa za uwepo wa kiwanda cha kutengeneza mayai katika Kata ya Goba, Wilaya ya Ubungo Mkoa wa Dar es Salaam ambazo zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii. Wizara inapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa…
Tanzania kuwasilisha ombi CAF matumizi ya matangazo ya Kiswahili
Na Shamimu Nyaki, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kuweka matangazo kwa lugha ya Kiswahili…
Ulowa bingwa cherehani Cup 2023, Rais Samia apewa tano kuimarisha michezo
Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Shinyanga Mashindano ya CHEREHANI CUP 2023 yamefika ukomo tarehe 15 Octoba 2023 katika uwanja wa Nyamilangano yakiwa yamefanyika kwa zaidi ya wiki tatu huku jumla ya timu 20 kutoka kata zote za Halmashauri ya Ushetu zikiwa…




