JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bil 5.9 zimetumika kununua viuadudu katika halmashauri nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetumia kiasi cha shilingi Bilioni 5.9 kununua viuadudu katika ngazi ya Halmashauri ndani ya kipindi cha mwaka 2017 hadi 2023. Hayo yaimebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya,…

Huduma za Posta Afrika zaimarika, Mawaziri wakutana kuweka mikakati ya pamoja

Na Immaculate Makilika – MAELEZO “Mamilioni ya wahudumu wa posta wasafirisha mabilioni ya barua na vifurushi kupitia maelfu kwa maelfu ya ofisi za posta kote duniani na hivyo kuzihudumia na kuziunganisha jamii kote duniani”, ameeleza Katibu Mkuu wa Umoja wa…