Latest Posts
Chanzo cha DC Hanafi Mtwara kutumbuliwa
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo akiwa Kibaha, Pwani kufunga mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Hanafi Msabaha kutokana na kupeleka mradi mahali ambako haukutakiwa kwenda…
Jeshi la Polisi lawahiza wananchi kutoa taarifa za vitendo vya ukatili Simiyu
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi -Simiyu Jeshi la Polisi Mkoani Simiyu limewahimiza wanachi kuendelea kutoa taarifa za uhalifu na vitendo vya ukatili Mkoani humo vinavyofanywa na Baadhi ya watu wasio na hofu ya Mungu. Kauli hiyo imetolewa leo Agasti…
EWURA yaridhishwa na kazi ya utengenezaji wa matela ya mabomba ya mradi wa EACOP
Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (Ewura), imesema kuwa imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa utengenezaji wa matela maalum 300 unaofanywa na kampuni ya Superdoll kwa ajili ya kusafirisha mabomba ya mradi…
Ma-Rc ongezeni kasi kudhibiti mmomonyoko wa maadili, ukatili kwa watoto
Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Pwani Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewasisitiza Wakuu wa Mikoa nchini kuendelea kuishikilia Ajenda ya kupambana na mmomonyoko wa maadili, vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na…