Latest Posts
Rais Samia afanya uteuzi, amhamisha Mchechu NHC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya serikali leo Februari 24, 2023 Amemteua Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa…
Urusi yatengwa na Umoja wa Mataifa
Umoja wa Mataifa umeitenga Urusi siku ya Alhamisi, wakati wa kuadhimisha mwaka mmoja tangu Urusi ilipoivamia Ukraine huku ikitoa wito wa kuwepo kwa “amani na haki ya kudumu” na kuitaka tena Urusi kuondoa wanajeshi wake na kuacha mapigano. Siku moja…
Aliyewahi mwenyekiti klabu ya soka Simba Masanja afariki gerezani
Aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Simba nchini na Katibu Mkuu Msaidia Marco Masanja amefariki nchini China akiwa kifungoni. Marehemu ambaye alikuwa kiongozi katika miaka kadhaa huko nyuma, alifariki dunia tarehe 10 Februari mwaka huu. Kwa mujibu…
Makamu wa Rais afungua Jukwaa la uwekezaji na biashara baina ya Tanzania Ulaya
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka Umoja wa Ulaya kuwekeza nchini katika sekta za Kilimo, Usafirishaji, Nishati,Tehama,Utalii na katika Viwanda vya kuongeza thamani kwa kuwa serikali inahitaji kufungua zaidi sekta…