Latest Posts
Waziri Mkuu mgeni rasmi uzinduzi wa nyaraka za usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Uzinduzi wa Nyaraka za Usimamizi wa Maafa nchini unaotarajia kufanyika Februari 9,2023. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri…
‘Nguzo za ukubwa mita 13 zinapatikana nchini’
Na zuena Msuya,JamhuriMediaTanga Kamati ya kuishauri Serikali namna ya upatikanaji wa Nguzo bora za Umeme za Miti, imesema kuwa nguzo za miti za umeme zenye ukubwa wa mita 13 zinapatikana nchini tofauti na inavyoelezwa na baadhi ya wakandarasi wanaotekeleza miradi…
Bomoabomoa yazikumba nyumba 152 Pwani, wakazi wajihifadhi shuleni
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ametolea ufafanuzi sakata la bomoabomoa ya nyumba katika kitongoji cha Matuga, Kata ya Kawawa na Zegereni wilayani Kibaha na kusema endapo kama hawajaridhika na maamuzi ya Baraza la Ardhi…
Tetemeko la ardhi Uturuki,vifo vyafikia 4,800
Idadi ya vifo inaongezeka hadi sasa zaidi ya 4,800 vimerekodiwa kutokana na tetemeko lilitokea siky ya Jumatatu. Nchini Uturuki, idadi ya watu ambao wamekufa kwa sababu ya matetemeko haya ya ardhi imeongezeka hadi 3,381, kulingana na mamlaka ya maafa nchini…
Waziri Aweso ataka mtandao wa maji kuongezwa Buswelu
Na Mohamed Saif,JamhuriMedia Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) ameielekeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuanza mara moja kuongeza mtandao wa usambazaji maji Kata ya Buswelu Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza. Ametoa maelekezo hayo Februari 4, 2023…
Pwani yafanikiwa kupunguza tatizo la udumavu, utapiamlo
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mkoa wa Pwani umekuwa mkoa wa sita kati ya mikoa 26 katika masuala ya lishe, ikiwa ni hatua nzuri ya kupunguza tatizo la udumavu , utapiamlo hususan kwa watoto. Akizungumza katika kikao Cha lishe kimkoa ,Mkuu wa…