Latest Posts
Karamagi amshukuru Samia ukarabati bandari
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Muleba Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Nazir Karamagi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ukarabati mkubwa uliofanywa katika bandari za Bukoba na Kemondo kuwa utasaidia kuondoa changamoto za usafiri…
Samia apokelewa na maelfu ya wananachi Muleba
Sehemu ya Wananchi wa Muleba mkoani Kagera waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 15…
Raila Odinga afariki, atakumbukwa kwa kupigania uhuru wa kidemokrasia
Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga amefariki akiwa na umri wa miaka 80. Raila amefariki wakati akifanyiwa matibabu katika hospitali moja nchini India kulingana na duru za familia. Magazeti ya India Mathrubhumi na The Hindu yaliripoti habari hiyo kwa…
Mradi wa Pwani Yetu na mbinu endelevu za uhifadhi wa bahari
Na Stella Aron, JamhuriMedia,Tanga Tanzania ina zaidi ya kilomita 1,400 za pwani pamoja na eneo la uchumi wa bahari lenyeukubwa wa takriban kilomita zamraba 223,000. Rasilimali hiikubwa ya bahari ni msingi muhimu wa shughui za kiuchumi kama vile uvuvi endelevu,…
Marekani, China zatupiana ada mpya za bandari
MVUTANO wa kibiashara kati ya Marekani na China umechukua sura mpya baada ya mataifa hayo mawili kuanza kutozana ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji baharini. Marekani na China zimeanza rasmi kutoza ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji majini…
Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi
Jesh la Madagascar limechukua madaraka baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia. Hatua hiyo inafuatia wiki kadhaa za maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana waliopinga umaskini, rushwa na ukosefu wa huduma za msingi. Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya…