Latest Posts
Gesi ya Helium yagundulika na kina cha Km 1.14 chini ya Ardhi
Utafiti wafanyika katika visima vinne *Utafiti umegundua gesi ya Helium yenye ubora wa mkusanyiko wa asilimia 7.9 na 5.5 *Zaidi ya ajira 100 zatolewa kwa jamii Momba, Songwe. Na Mwandishi Wetu, Songwe. IMEELEZWA kwamba utafiti wa gesi ya helium uliofanywa…
Viongozi wa ulimwengu, maelfu wamuaga Papa Francis
Viongozi wa ulimwengu, makasisi na umati wa watu mapema hii leo walikusanyika kwenye Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi wa Kanisa Katoli ulimwenguni Papa Francis. Kadinali wa Italia Giovanni Battista Re aliongoza Ibada ya…
Papa Francis azikwa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amezikwa hii jana mjini Roma, katika mazishi yaliyohudhuriwa na maelfu ya watu wakiwemo viongozi wa dini na marais kutoka kote uliwenguni. Papa Francis amezikwa kwenye Kanisa alilolichagua la Mtakatifu Maria Maggiore mjini Roma,…
Majina waliopita usaili TRA hawa hapa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya watu waliopita katika usaili wa kuandika na hivyo kuitwa kwa ajili ya kufanya usaili wa mazungumzo. https://www.tra.go.tz/images/uploads/public_notice/english/MAJINA_YA_USAILI.pdf
Brigedia Feruzi : Jukumu la wazazi, walezi ni kujua mwenendo na tabia ya watoto wao
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Wazazi na walezi hapa nchini wametakiwa kuona umuhimu wa kuwasimamia kwa karibu Watoto wao wanaosoma katika shule za msingi na sekondari ili waweze kuepukana na tabia mbaya za utoro, uvutaji bangi na amewahimiza kujenga ushirikiano…
Waomba Jimbo Singida Kaskazini libadilishwe jina kuwa Jimbo la Ilongelo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wadau wa Uchaguzi kutoma Halmashauri ya Wilaya ya Singida weithibitishia Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi juu ya nia yao ya kutaka kubadili jina la Jimbo la Singida Kaskazini kuwa Jimbo la Ilongelo. Mwenyekiti wa…