JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Marekani kuwapa fursa vijana wa Kitanzania wenye vipaji

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul leo Januari 13, 2022 jijini Dar es Salam, ameongoza kikao kati ya Wizara hiyo na Wadau wa Diaspora kutoka nchini Marekani kupitia asasi ya Global Youth Support Center, kujadili nia ya…

Bodi ya Pamba yawapa kicheko wakulima Simiyu

Zaidi ya wakulima 1,500 kutoka Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, wamepatiwa pembejeo mbalimbali za kilimo kwa ajili ya zao la Pamba vikwemo vinyunyuzi dawa, pamoja na dawa sumu lengo likiwa kupamba na wadudu wanaoshambulia zao hilo wakiwemo funza. Pembejeo hizo…

Ushirikishwaji wa Watanzania waleta mabadiliko makubwa sekta ya madini

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa mabadiliko ya Sheria ya Madini mwaka 2017 na kanuni za ushirikishwaji wa watanzania katika Sekta ya Madini yamepelekea mabadiliko makubwa katika Sekta ya Madini ikiwa ni pamoja na ongezeko…

Jatu yarejesha imani kwa wanahisa wake, yakaribisha mtaalamu kutoka Uholanzi

Ikiwa ni siku chache tu baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jatu PLC kufikishwa mahakamani kutokana natuhuma zinazomkabili za matumizi mabaya ya ofisi, uongozi wa kampuni hiyo kupitia kwa Kaimu MkurugenziMohamed Simbano, wamemtambulisha mtaalamu wa masuala ya fedha na…