Latest Posts
China:Tutaimarisha ushirikiano na Urusi 2023
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amesisitiza msimamo wa nchi yake ya kutofungamana na upande katika vita vya Ukraine na kwamba taifa hilo litaimarisha uhusiano na Urusi katika mwaka ujao 2023. Wang amesema China itazingatia kuzingatia ya…
Namoto aelezea mafanikio na changamoto za wamachinga 2022
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Chama cha Wafanyabiashara Ndogondogo Mkoa wa Dar es Salaam (KAWASO),kimeishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa jitihada za kuwaboreshea mazingira ya kufanya kazi zao ikiwemo kuwaweka kwenye mpangilio mzuri pamoja na kujenga masoko ya kisasa. Akizungumza na…
Yanga yaonesha ubabe bila Fei Toto
Mabingwa watetezi, Yanga SC wameonyesha wanaweza kuendelea kufanya vizuri bila kiungo Feisal Salum Abdallah aliyesusa akishinikiza kuondoka baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC usiku huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Ilikuwa mechi tamu…
Rais Samia amwaga mamilioni kwa wasanii
Jumla ya shilingi milioni 170 zimetolewa katika mkupuo wa kwanza ambapo msanii wa chini amepata shilingi milioni 20 na wa juu amekopeshwa kiasi cha shilingi milioni 50. Akikabidhi hundi hizo Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mohamed Mchengerwa amewataka wasanii na…
Polisi:Disko toto marufuku kipindi hiki cha sikukuu
Kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limepiga marufuku kuwepo kwa Disko toto huku likiagiza kufungwa kwa baa zote baada ya saa sita usiku, isipokuwa zile zenye vibali maalum. Akizungumzia hali ya…
Ummy:Kumekuwa na ongezeko la magonjwa ya mfumo wa njia ya hewa
Ndugu Wananchi, tukiwa katika msimu wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, Wizara ya Afya inawatakia wananchi wote Heri ya Krisimasi na Mwaka Mpya 2023. Kama tunavyofahamu Mtu ni Afya, hivyo nitumie fursa hii pia kuwakumbusha wananchi kuchukua hatua za…