Latest Posts
Watuhumiwa kesi za ubakaji 223 waenda jela miaka 30
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa kushirikana na Ofisi ya Taifa ya Mashitaka limewafikisha mahakamani watuhumiwa 270 kwa makosa ya ubakaji na watuhumiwa wawili kati yao wamefungwa kifungo cha maisha jela…
TARURA Kibaha yapendekeza bilioni 59.3/- kwa ajili ya miradi ya barabara
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha WAKALA wa barabara mijini na Vijijini (TARURA) wilaya ya Kibaha , mkoani Pwani imependekeza jumla ya sh.bilioni 59.3 kwa ajili ya kugharimu miradi 26 ya maendeleo ya barabara katika kipindi cha kwa mwaka 2023/2024. Kaimu meneja TARURA…
Dkt.Gwajima awaasa wanawake kupaza sauti kupinga ukatili
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Mafia Wanawake nchini wameaswa kujiamini kwa kupaza sauti zao ili kukabiliana na wimbi la vitendo vya ukatili vinavyowakabili. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake, na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alikutana na wananchi wa Kata ya…
Nsokolo: Tangu rais aingie madarakani amekuwa rafiki wa wanahabari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Imeelezwa kuwa kitendo cha Serikali ya Awamu ya Sita kukaa meza moja na kujadili mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari nchini,kumeonyesha dhamira njema katika kufanikisha maendeleo ya sekta ya habari nchini. Hayo yamesemwa na Rais Muungano…
Majaliwa awataka watumishi Mlele wahamie kwenye nyumba za Serikali
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza watumishi wa Halmashauri ya wilaya Mlele wahamie mara moja kwenye nyumba 11 zilizokuwa za wajenzi wa barabara ya Inyonga-Mlele na kukabidhiwa kwa Halmashauri hiyo. Watumishi ambao ameagiza wahamie kwenye nyumba hizo ni Afisa Usalama wq…
Hiki ndicho kinacholitesa taifa letu
Katika miaka 61 ya Uhuru, kinachoitesa Tanzania ni kukosa dira. Awali, falsafa ya TANU na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, ilikuwa kuondoa maovu yote yaliyotokana na ukoloni na kuwafanya wananchi kujenga uchumi…