JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mpango afungua wiki ya maadhimisho ya JKT

……….………………. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Jeshi la Kujenga Taifa kuhakikisha wanafanya uwekezaji zaidi katika kufundisha vijana matumizi ya teknolojia katika shughuli zake mbalimbali za uzalishaji mali na utoaji…

Serikali yaandaa sera kuwezesha Diaspora kuwekeza ujenzi na ununuzi wa nyumba nchini

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akikabidhi mfano wa funguo kwa familia ya John Mwangosi wakati wa hafla ya kukabidhi nyumba na maeneo ya biashara kwenye mradi wa Morocco Square unaotekelezwa na Shirika la Nyumba…

NEC yateua 77 kutoka vyama 17 kugombea udiwani kata 14

Na Mroki Mroki, JamhuriMedia,Dodoma Wagonbea 77 kutoka vyama 14 vyenye usajili wa kudumu wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwania nafasi wazi za udiwani katika Kata 14 za Tanzania Bara ambazo zinataraji kufanya uchaguzi mdogo  Julai 13,2023. Tume ya…

Ziara ya Waziri Mkuu Tanga

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba, wakati alipowasili Mkoani Tanga, katika ziara ya siku moja Julai 1, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Kikundi cha Hamasa…

Miaka 20 ya Baraza la Famasia Tanzania chachu ya huduma bora

Na Majid Abdulkarim, Dodoma Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mama na Mtoto, Wizara ya Afya, Dkt. Ahmad Makuwani amelitaka Baraza la Famasi Tanzania kuwa chachu ya kuboresha huduma za dawa katika Sekta…