JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kipigo cha Ihefu, kimewapeleka Yanga kwenye presha sahihi

Na Mwandishi wetu Yanga wameagana na presha ya unbeaten na sasa wanaingia kwenye presha ya ubingwa. Kuna wakati presha ya unbeaten ilikuwa inawaondoa wachezaji kwenye focus ya ubingwa kiasi kwamba makocha walilazimika kuwakumbusha wachezaji na mashabiki kwamba wafocus kwenye ubingwa…

‘Sambazeni waraka wa adhabu za viboko shuleni walimu, wanafunzi wauelewe’

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ameiomba Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuusambaza waraka wa adhabu za viboko shuleni wa mwaka 2002 ili walimu na wanafunzi wauelewe. Waziri Gwajima amesema hayo wakati…

Yanga yachapwa na Ihefu FC 2-1

Klabu ya Ihefu imevunja rekodi ya Yanga ya kutokufungwa katika mechi ya 50 kwenye mechi za ligi kuu Tanzania bara baada ya kufungwa kwa mabao 2-1, mchezo ambao ulipigwa Mbarali mkoani Mbeya. Yanga Sc ilianza kupata bao kupitia kwa Yannick…

Majaliwa ataka umakini manunuzi ya vifaa vya ujenzi wa miradi

…………………………………………………………………………………. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri nchini kuongeza umakini katika manunuzi ya vifaa vinavyotumika katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao ili iweze kukamilika katika muda uliopangwa na kutoa huduma kwa wananchi. Ametoa wito huo leo (Jumanne,…

Anne Makinda kutunuku wahitimu 291 HKMU

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SPIKA Mstaafu ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU), Anne Makinda anatarajiwa kuwatunuku wahitimu 291 wa masomo mbalimbali kwenye mahafali ya 20 ya Chuo hicho. Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Yohana Mashalla, amesema…

Uganda yaja kujifunza namna Tanzania ilivyofanikiwa sekta ya mawasiliano

Tanzania imeihakikishia Uganda kuwa itaendelea kuipa ushirikiano katika kujenga uwezo wa usimamizi wa sekta ya Mawasiliano na TEHAMA, sambamba na kudumisha ushirikiano wa kitaalam katika usimamizi wa sekta hizo. Akizungumza wakati alipoukaribisha ujumbe wa Tume ya Mawasiliano Uganda (UCC), ukiongozwa…