Latest Posts
UVCCM Zanzibar yamshauri msajili kukifuta chama cha ACT-Wazalendo
Na Is- Haka Omar, JamhuriMedia, Zanzibar UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Zanzibar,umemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi,kufuta usajili wa Chama cha ACT-Wazalendo kutokana na kufanya siasa za chuki,fitna na kumdhalilisha Rais wa Zanzibar Dk.Hussein…
Serikali kujenga kiwanja kipya cha michezo jijini Arusha
Na Eleuteri Mangi, WUSM, Arusha Mkoa wa Arusha umepewa dhamana kubwa ya kitaifa ya kujengwa kiwanja kipya cha michezo na kufanya Tanzania kuwa na viwanja vitatu vinavyokidhi vigezo na mahitaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ili kuandaa…
MNH yawezesha uanzishwaji wa kliniki ya Himofili na selimundu Kigoma
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Jesca Leba ameishukuru Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kuwezesha upatikanaji wa Kliniki ya Himofilia na Selimundu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma – Maweni. Dkt. Jesca ambaye alimuwakilisha Mkurugenzi wa…
Rais Samia atembelea na kukagua daraja la JP Magufuli
Muonekano wa Daraja la Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi km 3) linalounganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema Mkoani Mwanza ambalo Ujenzi wake umefikia asilimia 75 na unatarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2024.





