JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CCM yafuta uchaguzi baadhi ya mikoa nchini, yaagiza uchunguzi kufanyika

Katibu Mkuu wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo kwa dhamana ya kuwa Mkurugenzi Mkuu waUchaguzi wa ndani ya chama unaoendelea huku ukifikia ngazi za mikoa chama na jumuiya, ametangaza kufuta uchaguzikatika baadhi ya maeneo, kusimamisha mchakato wa uchaguzi na…

Serikali: Jengeni mahusiano mazuri na jamii zilizoko karibu na migodi

Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahman Mwanga amebainisha kuwa, wajibu wa Kampuni za Madini katika jamii (CSR) unapaswa kutekelezwa na wamiliki wa migodi ili kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaozunguka maeneo ya migodi. Amesema hayo Novemba 21, 2022 katika kikao cha…

Ofisi ya Waziri Mkuu kushiriki maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha

Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kupitia Idara ya Hifadhi ya Jamii itashiriki katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha ambayo kitaifa yatafanyika Mkoani Mwanza, kuanzia Novemba 21 hadi 26, 2022. Hayo ameeleza Mkurugenzi…

Polisi Shinyanga wakamata silaha zinazotumika kuendesha uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekamata Bunduki za Kivita AK47 mbili, za kiraia 27(S\gun 9, Riffle 5 pamoja na Gobole 15 zilizokuwa zinatumika kutendea uhalifu.  Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jumatatu Novemba 21,2022, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga…

Serikali kutumia Trilioni 1.2 kuboresha elimu ya sekondari nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki amesema Serikali itatumia takribani Sh trilioni 1.2 katika kuboresha elimu ya sekondari nchini. Kairuki ameyasema hayo wakati wa kuzungumza na wananchi wa Kata ya Kasisi,…

Mpango aitaka TPA kukamilisha miradi yote ya maboresho

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ameitaka Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) kuhakikisha miradi yote ya maboresho ya bandari ya Tanga inakamilika ifikapo mwezi Aprili 2023 ili bandari hiyo ianze kufanya kazi kwa…