Latest Posts
TRA: Hakuna sababu ya kutumia mabavu kukusanya kodi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),imewashauri watendaji wake kuacha kutumia mabavu katika ukusanyaji kodi kwa wafanyabiashara badala yake itumie elimu ya kuwahamaisha ili kodi ilipwe bila shuruti. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam…
Naibu Waziri Ulega awataka wataalamu kuwafikia wafugaji vijijini
Na. Edward Kondela,JamhuriMedia,Arusha Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega (Mb) amesema umefika wakati wataalamu wa mifugo kujengewa uwezo ili kutoa huduma zaidi maeneo ya vijijini na kulinda usalama wa mifugo na mlaji wa mazao yatokanayo na mifugo. Naibu…
Biteko awapa kibarua waliohodhi maeneo makubwa ya makaa ya mawe
Mawe kwa ajili ya kuzalisha nishati Duniani na kutokana na madini hayo hivi sasa kuwa moja ya chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali, Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ametoa muda wa miezi Mitatu (3) kwa Tume ya Madini kufanya…
Mgonjwa wa homa ‘anyweshwa’ dawa ya upele
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Mgonjwa aliyekwenda kutibiwa homa Hospitali ya Misheni Bwagala iliyopo Turiani, Mvomero mkoani Morogoro amenusurika kifo baada ya kunywa dawa ya kutibu upele akielekezwa kuwa ni ya homa. Kisa hicho kimetokea Alhamisi ya Novemba 4, 2022 baada ya…
Ndejembi akerwa na tabia ya waajiri kuficha barua za uhamisho
Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amekemea tabia ya baadhi ya waajiri katika Taasisi za Umma kuficha barua za uhamisho wa watumishi wa umma ambao Katibu Mkuu,…
Klabu ya Simba yamkana kocha aliyedakwa na dawa za kulevya
Uongozi wa Klabu ya Simba unaujulisha umma kuwa Muharami Said Mohammed maarufu Shilton hakuwa muajiriwa wa klabu yetu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu hiyo leo Novemba 15,2022 imesema kuwa klabu hiyo ilimuomba na kukubaliana na Muharami kuwanoa makipa…