JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TARURA waendelea na ujenzi barabara za lami nyepesi Songea

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea JUMLA ya sh.milioni 389.8 zimetolewa na wakala wa barabara za mijini na vijijini(TARURA),Manispaa ya Songea,kujenga ujenzi wa boksi karavati na barabara ya rami kwa kiwango chepesi 0.71cm yenye urefu wa mita 700 ikiwa ni mwendelezo wa ujenzi…

Tanzania kucheza na Colombia Robo Fainali Kombe la Dunia

Na Shamimu Nyaki,JamhuriMedia Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 ( Serengeti Girls), inatarajia kucheza na Colombia katika robo fainali baada ya kuandika historia kwa mara kwanza kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia baada ya…

ACT-Wazalendo yamshauri Jaji Biswalo kujiuzulu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Msemaji wa Sekta ya Katiba na Sheria ya ACT-Wazalendo, Victor Kweka kuwa amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume ya majaji ili kupitia malalamiko ya wananchi waliolipishwa fedha kwa kukiri makosa na kulipa fedha serikalini. Hatua…

Tanzania mfano wa kuigwa duniani kwa kudhibiti mfumuko wa bei

Makamu Rais wa Benki ya Dunia wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Victoria Kwaka, ameipongeza serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta “miujiza” kwenye uchumi. Kwaka ameipongeza Tanzania kwa utulivu wa uchumi wake wakati…

Waziri Ummy:Bima ya afya haitakuwa na matabaka

Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema Muswada wa bima ya afya unalenga kutoa huduma za matibabu kwa wananchi wote bila kujali tajiri au maskini hivyo hautakua na matabaka. Waziri Ummy amesema hayo leo 18 Oktoba 2022 wakati akiwasilisha muswada huo…