Latest Posts
Serikali yataka aliyemlawiti mwanaye Arusha achukuliwe hatua kali
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo wahakikishe wanamfikisha katika vyombo vya sheria baba mzazi wa mwanafunzi wa darasa la pili (7) katika Kata ya Sokoni One mtaa…
Jeshi la Polisi laja na mbinu mpya ya kuzuia uhalifu
Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Nchini kupitia Kamisheni ya Polisi Jamii limekuja na mbinu ya kuzuia matukio ya uhalifu hususani ya mauaji pamoja na ya ukatili. Kamishna wa Polisi Jamii Nchini CP.Faustine Shilogile wakati akizungumza na…
Bil.7.5 kukarabati kivuko MV Magogoni
Na Alfred Mgweno -TEMESA Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imesaini mkataba wa ukarabati wa kivuko cha MV. Magogoni wenye thamani ya shilingi bilioni 7.5. Mkataba huo umesainiwa leo katika eneo la kivuko cha Magogoni Kigamboni jijini…
Nape:Serikali itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Serikali imesema itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza na haitoingilia kwenye uhuru wa vyombo vya habari. Pia inataka kuwa mlezi wa uhuru wa kujieleza na haitaki kuingilia biashara ya vyombo vya habari. “Inachotaka ni kuwa mlezi wa…





