Latest Posts
Suarez agoma kuiomba msamaha Ghana
Mchezaji wa Uruguay, Luis Suarez (31), amesema kamwe hawezi kuomba msamaha kwa kushika kwa mkono mpira uliokuwa unaingia golini kwao katika mechi yao ya Kombe la Dunia dhidi ya Ghana mwaka 2010 nchini Afrika Kusini. Watu wengi wamekuwa wakimtaka Suarez…
Waziri Mabula asikitishwa na watendaji sekta ya ardhi Iringa
Na Munir Shemweta,JamhuriMediaIringa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za Manispaa na Wilaya ya Iringa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kusababisha halamshauri hizo kushindwa kukusanya…
Haya hapa matokeo darasa la saba 2022
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo Desemba 1, 2022 limetangaza matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2022 ambapo limetangaza kufuta matokeo yote ya Watahiniwa 2194 sawa na asilimia 0.16 ya Watahiniwa 1,350,881 waliofanya mtihani ambao wamebainika kufanya udanganyifu…
Matokeo ya darasa la saba yatangazwa, vituo 24 vyafungiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya darasa la saba ya mwaka huu ambapo watahiniwa milioni 1.07 wamefaulu kwa kupata madaraja A na B na C. Akitangaza matokeo hayo leo Desemba 1, 2022 Kaimu Katibu Mtendaji…
Tuache siasa, bandari yetu ni dhahabu
Na Deodatus Balile,JamhuriMedia,Dubai Wiki iliyopita nimepata fursa ya kusafiri kwenda Dubai. Nimetembelea maeneo kadhaa, ila moja ya maeneo hayo ni bandari tatu zinazoendeshwa na Kampuni ya DP World. Kampuni hii inamilikiwa na familia ya mfalme anayetawala Dubai. Kwa Dubai, kampuni…





