Latest Posts
NHC lajipanga kutekeleza mradi wa Samia Housing Scheme
Shirika la Nyumba la Taifa limejipanga kutekeleza mradi wa Samia Housing Scheme unaotarajia kujenga nyumba zaidi ya 5000 na kuzalisha ajira zaidi ya Elfu Ishirini na Sita. Hayo yameelezwa na Daniel Kure Afisa Mauzo na Masoko Mwandamizi kutoka Shirika la…
DC Mangoso akemea walimu kuwa na mahusiano na wanafunzi
Na Muhidin Amri,JamhuriMedia,Mbinga Mkuu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Aziza Mangosongo,amezindua miongozo ya usimamizi na uendeshaji wa elimu huku akikemea tabia ya baadhi ya walimu wa kiume kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao. Mangosongo amesema,tabia hiyo imechangia…
Rais Samia azindua Chama cha Mawakili wa Serikali
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan azindua Chama cha Mawakili wa Serikali, Nembo ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na Mfumo Rasmi wa Ofisi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Mawakili wa Serikali Jijini Dodoma
Gwajima:Tujadili mfumo bora wa kusaidia watoto ombaomba mitaani
Na Mwandoshio Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kt. Dorothy Gwajima ameitaka jamii kujadili mfumo mzuri wa kuwasaidia watoto wanaoomba mitaani ili misaada hiyo iweze kupelekea watoto hao kutimiza ndoto zao. Gwajima ametoa wito huo…
‘Ukosefu wa mtaji umesababisha kushindwa kufikia ndoto yangu’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arush Kwa mujibu wa sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000, inaonesha kuwa idadi ya wanawake ni kubwa kwa takribani asilimia 52 zaidi ya wanaume ambayo ni asilimia 48 huku wanawake wengi wakiripotiwa kuishi vijijini….
DC Njombe:Msinywe dawa kwa kificho
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Njombe Mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa ametoa wito kwa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuacha kuogopa kutumia dawa za kufubaza maambukizi kwa kuwa Serikali imetatua changamoto ya kukosekana kwa dawa hizo huku akiwataka…