Latest Posts
Tanzania yaongoza kwa idadi kubwa ya nyati Afrika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana ametangaza matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyofanyika mwaka huu ambapo Tanzania inatajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya nyati Barani Barani Afrika kwa kuwa na jumla ya nyati 191,805….
Serikali kuwajengea uwezo wataalamu wa nusu kaputi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na vyama vya kitaaluma inatekeleza Mkakati wa kuwajengea uwezo watumishi wa vituo vya huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi hospitali za Taifa…
Serikali yatenga bil.230/- kuboresha miundombinu ya elimu
Angela Msimbira OR-TAMISEMI Serikali inakamilisha tathmini ya upembuzi yakinifu wa shule zote za msingi kupitia mradi wa kuboresha elimu ya awali na msingi Tanzania Bara (BOOST) ili kuandaa mpango endelevu wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi nchini ….
Rais Samia aagiza kuundwa kikosi kazi cha kudhibiti matumizi nishati
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia,Dar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Nishati Kuunda kikosi kazi kitakachoshughulikia sera za nishati mbadala ili kufikia malengo ya serikali yakutumia nishati safi ya kupikia. Raisi Samia ametoa agizo hilo…





