Latest Posts
Serikali yatoa bil.3/-kujenga sekondari ya wasichana Ruvuma
Na Mwandishi Wet,JamhuriMedia, Ruvuma Serikali imetoa shilingi bilioni tatu kutekeleza mradi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Ruvuma ambayo inajengwa katika eneo la Migelegele wilayani Namtumbo. Akizungumza baada ya kukagua mradi huo,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali…
Vyanzo vikuu nane vya migogoro ya ardhi Dar
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Allan Kijazi amesema kupitia kamati aliyoiunda ya kutatua migogoro ya Ardhi Jijini Dar es Salaam imebaini vyanzo vikuu nane vya migogoro ikiwemo uvamizi,kughushi nyaraka na utapeli. Dkt. kijazi ameyasema hayo…
Jafo atoa siku 7 kwa wafanyabiashara wenye mifuko ya plastiki kuisalimisha
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo ametoa muda wa siku 7 kwa Wafanyabiashara na Wananchi Wenye Mifuko ya plastiki iliyokatazwa kuisalimisha kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kupitia kikosi…
Naibu IGP Balozi Dkt.Abdulrahamani Kaniki asisitiza uadilifu
Aliyekuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Balozi Dkt Abdulrahamani Kaniki amelitaka Jeshi la Polisi kuendelea kuwa waadilifu kwa kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi na kwa mujibu wa wakanuni mbalimbali zinazoliongoza Jeshi…