Latest Posts
Tanzania,Malawi kushirikiana masuala ya ulinzi
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malawi zimesaini hati mbili za makubaliano ya kushirikiana katika masuala ya ulinzi na usalama wakati wa Mkutano wa Tano wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (The 5th Joint-Permanent Commission for…
Tanzania yafanya vizuri utoaji hati za kimila
Imeelezwa kuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi mbili kati ya 12 za Afrika zilizofanya vizuri zaidi katika utoaji wa hati za kimila za matumizi bora ya ardhi. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Mradi wa kitaifa Bw. Joseph Kihaule wakati wa…
Gwajima awabana wazee malezi ya vijana wa kiume
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amewataka Wanaume wazee kuwaandaa na kuwalea vijana kwa ajili ya maisha ya uzeeni. Waziri Dkt. Gwajima ametoa rai hiyo wakati wa Uzinduzi wa harambee ya kuchangia chama…
Tume ya Madini yavuna bil. 178/- robo ya kwanza ya mwaka 2022-2023
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba, 2022 ambacho ni robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2022-2023, Tume ya Madini imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 178.01 kwenye…
Mister na miss kiziwi wa dunia kupatikana Oktoba 29
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Mashindano ya Dunia ya Mister and Miss Kiziwi yanatarajia kufanyika oktoba 29 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Kimatataifa( NJICC) na mgeni rasmi atakuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalumu,nakwamba yanakutasha washiriki kutoka nchi…
Baraza la Madiwani Tunduru lamwangukia RC Ruvuma
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma limeazimia kumuita mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kanali Laban Thomas kwenye kikao cha dharula ili wamueleze kero nne zinazoisumbua jamii ikiwemo ya wafugaji ambao inadaiwa kuna…





