Latest Posts
MK Group na ngoma za maghorofani
*Ilikommbolewa na Miraji Shakashia akiwa shule ya msingi TABORA Na Moshy Kiyungi Kuna wanaodai kuwa muziki wa dansi umekufa kwa kulinganisha na ilivyokuwa miaka ya 1960 na 1990. Wakati huo karibu kila mji ilikuwapo bendi ikitoa burudani kwa wakazi wa…
Mtibwa Sugar itupiwe jicho makini
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mtibwa Sugar wamelifunga dirisha la usajili kibabe sana. Wamesajili majembe ya maana. Msimu ujao siwaoni tena katika nafasi za mwisho kwenye msimamo wa ligi. Siku moja kijiweni kwetu Kinondoni niliwahi kumwambia mmoja wa wachezaji…
Stars na matumaini kibao
DAR ES SALAAM Na Mfaume Seha, TUDARco Timu ya taifa, Taifa Stars, imejiweka katika nafasi nzuri kuwania kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika nchini Qatar mwakani. Stars inaongoza Kundi āJā lenye mataifa ya DRC, Benin na Madagascar, ikiwa…
Kauli ya Spika Ndugai isiachwe ipite hivi hivi
Spika Job Ndugai, ametoa kauli inayohitaji kufanyiwa kazi na mamlaka zinazohusika. Akizungumza wakati wa kuahirishwa Mkutano wa Bunge jijini Dodoma mwishoni mwa wiki, Spika Ndugai alishangazwa na namna baadhi ya watumishi wa serikali wasivyotulia katika makao makuu hayo ya nchi….
Ukakasi trafiki kuuliza kabila
Mwaka 2013 nikiwa Geita nilibanwa tumbo; hali iliyonifanya niende katika zahanati ya madhehebu ya dini iliyokuwa jirani. Nilipokewa na kutakiwa nitoe maelezo ya jina, umri, ninakoishi na dini. Hii haikuwa mara ya kwanza kuulizwa swali hilo katika zahanati na hospitali,…
Wafukuzwa kazi kwa mgomo Mwendokasi
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Sinohydro wanaojenga barabara ya mabasi yaendayo haraka kutoka Kariakoo hadi Mbagala wamefukuzwa kazi huku wengine wakirejeshwa licha ya kufanya mgomo wiki iliyopita wakishinikiza kulipwa fedha za usafiri, chakula…