JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makinda:Asilimia 93.45 za kaya Tanzania zimehesabiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema hadi kufikia Jumatatu ya Agosti 29, 2022,asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zimehesabiwa huku taarifa zilizokwishakusanywa zikionesha kuwa ni asilimia 6.55 za kaya bado hazijahesabiwa. Makinda…

Waziri Simbachawane: Kazi ndio heshima ya mtu

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia, Dodoma Wakristo nchini wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujietea maendeleo, changia pato la Taifa na kutatua changamoto zilizo katika maeneo yao. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe….

Majaliwa:Tanzania yawasilisha miradi nane TICAD

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania imewasilisha miradi minane yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.334 katika Mkutano wa Nane wa Kimataifa wa Wakuu wa Nchi na Serikali unaohusu ushirikiano wa Maendeleo baina ya Japan na Afrika…

Tanzania na Qatar zajadili ajira wakati wa Kombe la Dunia

Tanzania imeihakikishia Qatar kuwa ipo tayari kutoa vijana watakaoweza kufanya kazi nchini humo, hususan katika kipindi hiki ambacho mahitaji ya nguvukazi ni makubwa kutokana na nchi hiyo kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Mpira wa Miguu wa Kombe la Dunia yatakayochezwa…