Latest Posts
Matrekta ya URSUS yadhibitiwe
Kwa wiki tatu mfululizo tumekuwa tukiandika habari juu ya mkataba wa kununua matrekta na kujenga kiwanda cha kuunganisha matrekta cha URSUS kilichopo wilayani Kibaha. Kiwanda cha kuunganisha matrekta kwa mujibu wa mkataba ilibidi kiwe kimekamilika Juni, mwaka jana. Hadi leo…
NINA NDOTO (33)
Nitawezaje kuamka mapema? “Ni jambo la aibu, ndege wa angani waamke kabla yako,” alisema Abu Bakr, rafiki wa karibu sana wa Mtume Muhammad. Siku moja wakati natazama video katika mtandao wa Youtube nilikuta video iliyokuwa ikimuonyesha bondia maarufu…
Wapandishwa kizimbani kwa kuiba bil. 1.4/-
Watu wawili wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka matatu ya kula njama na kuvamia, kuvunja makazi na kuiba fedha na vitu vyenye thamani ya Sh bilioni 1.4. John Masatu…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (27)
Wiki tatu zilizopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 26. Nilieleza nani analipa VAT, utaratibu wa kujisajili, tarehe za kulipa VAT na taratibu nyingine. Nikiri kuwa nimekabiliwa na majukumu mengi ya kitaifa, ikiwamo kuchunguza matreka ya URSUS yanayowatia hasara wakulima….
Maendeleo Bukombe yanavyokimbia (2)
Na angela kiwia Mbunge wa Bukombe, Dotto Biteko, katika mahojiano maalumu na JAMHURI kuhusu mambo ya maendeleo yanayoendelea jimboni kwake, amesema katika kipindi cha miaka mitatu mtazamo wa wananchi wa Bukombe umebadilika, tofauti na ilivyokuwa mwanzo. Biteko, ambaye pia ni…
Bandari za Mwanza kupaisha uchumi Maziwa Makuu
Katika makala hii tutaangazia miradi inayotekelezwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kwa bandari zinazosimamiwa na Bandari ya Mwanza ndani ya Ziwa Victoria. Katika Ziwa Victoria, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inamiliki na kusimamia bandari kubwa…