Latest Posts
Kesi ya Sabaya yapamba moto
ARUSHA Na Hyasinti Mchau Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, inaingia katika wiki ya mwisho ya kusikilizwa mfululizo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Odera Amuru. Tayari mashahidi kadhaa wamekwisha…
CHANJO YA CORONA Samia, Lissu wawatoa hofu Watanzania
*Lissu: Kauli za akina Gwajima zilikuwapo miaka 100 iliyopita *Adai ni upotoshaji wa sayansi ya tiba unaofunikwa na msalaba *NIMR yasema majaribio ya chanjo yalianza kwa wanyama NA WAANDISHI WETU Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua chanjo…
Ally Niyonzima ameachwa Azam!
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam wanakifanyia marekebisho kikosi chao. Wanasajili kila uchwao. Licha ya kufanya usajili mkubwa wa mastaa mbalimbali, lakini pia wameachana na baadhi ya mastaa. Mmoja wa mastaa walioachana…
LUIZA MBUTU… ‘Kizizi’ cha Twanga Pepeta
TABORA Na Moshy Kiyungi Miongoni mwa wasanii wa kike waliowahi kufanya makubwa enzi za muziki wa dansi nchini na kuwavutia wengi, ni Luiza Mbutu. Lakini kabla yake wamewahi kuvuma wanamuziki kadhaa wa kike maarufu kama akina Tabia Mwanjelwa, Asia Darwesh ‘Super…
Masauni: Wekezeni katika kilimo, mifugo, uvuvi
DAR ES SALAAM Na Paul Mahundi Ziara ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Masauni, Makao Makuu ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) wiki iliyopita, imeonyesha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kufuatilia hatua…
Changamoto zilizopita zilete suluhu
DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Miaka takriban 70 ya vyama vya siasa na uhuru Afrika; Tanzania ikiwa na uzoefu wa takriban miaka 30 ya siasa za vyama vingi, lakini bado haijashuhudia upinzani ukiinusa Ikulu ya Tanzania Bara wala ya…