Latest Posts
Kamati ya mawaziri yajionea uvamizi kwenye chanzo cha maji Katavi
Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Katavi Kamati ya Mawaziri wa Wizara za Kisekta imetembelea maeneo ya hifadhi na chanzo cha maji katika mkoa wa Katavi kujionea hali ya uvamizi wa maeneo hayo na kuelekeza wananchi waliovamia maeneo hayo kutofanya maendelezo mpaka hapo timu…
Wizara yaanza kampeni mkoa kwa mkoa kupambana na ukatili
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta na wadau wa Maendeleo imeanza Kampeni maalum ya Mkoa kwa mkoa kupambana na vitendo vya ukatili. Akizungumza wakati wa Kilele cha Kampeni ya kupinga…
Arusha yaanza kuchukua tahadhari mlipuko wa Ebola
Mkoa wa Arusha umeanza kuchukua tahadhari ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kutokana na kuwa na muingiliano mkubwa wa wageni kutoka nchini Uganda kulikoripotiwa kuwa na ugonjwa huo. Akizungumza na kamati ya afya ya msingi katika kuweka utayari…
TPA yadhamiria kuziboresha bandari kuwa za kisasa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Bagamoyo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa nchi kutoka daraja la tatu kwenda kwenye nchi zenye uchumi wa daraja la pili. Hayo yamebainishwa…





