Latest Posts
DC Ludigija awataka wadau kuzingatia maslahi upandishaji nauli
Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng’wilabuzu Ludigija amewataka wadau wa utoaji maoni juu ya upandishwaji nauli za treni, lazima wazingatie maslahi ya pande zote mbili. Lubigija amesema wadau katika mchakato wa utoaji maoni ,lazima wabebe jukumu…
Shaka amwagiza Bashe kumuondoa Mrajisi vyama vya ushirika Tabora
Shaka amwagiza Waziri Bashe kumuondoa Mrajisi vyama vya ushirika Tabora Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Shaka Hamdu Shaka amemuagiza Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kumuondoa haraka Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa…
STAMICO,GST watakiwa kufanya utafiti wa madini Mtwara
Na Tito Mselem,JamhuriMedia, NAIBU Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuwasadia wachimbaji wadogo wa madini katika mkoa wa Lindi na Mtwara kwa kuwafanyia…
Ridhiwani Kikwete aingia mtaani kutatua migogoro ya ardhi
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amezitembelea familia na makazi yenye migogoro ya ardhi ya muda mrefu kwa kuzifuata katika maeneo yao kwa lengo la kujionea uhalisia wa migogoro na kupata maelezo ya kina kabla…
Behewa mpya zaidi ya 20 kuwasili nchini Septemba
Serikali imesema mabehewa mapya ya abiria zaidi ya 20 ya reli ya kati yanatarajiwa kuwasili mapema mwezi Septemba mwaka huu kutokea Nchini Korea Kusini lengo likiwa kupunguza changamoto ya upungufu uliopo wa mabehewa hususani kwa njia ya Mpanda na Kigoma….