JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mkenda akerwa kusuasua kwa ujenzi wa chuo cha ufundi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda (Mb) amekerwa na kusuasua kwa ujenzi wa chuo cha ufundi stadi-VETA mkoani Simiyu. Ameagiza wataalamu wote wa usimamizi wa chuo hicho ambao ni kutoka chuo cha ufundi Arusha waweke kambi…

Wizara ya Elimu watinga robo fainali michuano ya SHIMIWI

Timu ya Wizara ya Elimu ya mchezo wa Kamba Wanaume wametinga hatua ya robo fainali ya Mashindano ya Shimiwi ya mchezo huo baada ya kuikung’uta timu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuwavuta kwa seti 2-1, katika mchezo wa…

RC Ruvuma ataka walioiba vifaa vya ujenzi wafikishwe mahakamani

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas,amemuagiza Kaimu Mkuu wa wilaya ya Nyasa Aziza Mangosongo kupitia kama ya ulinzi na usalama, kuwakamata na kuwafikisha mahakamani mafundi wa kampuni ya Emirate Builder Co Ltd waliohusika kuiba vifaa vya ujenzi wa…

Mahakama,Maliasili zang’ara riadha SHIMIWI

Wakati wanariadha Elibariki Buko wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Justa George wa Idara ya Mahakama wameibuka kidedea kwa kutwaa ubingwa wa mita 3,000 kwa wanawake na wanaume katika mchezo wa riadha uliofanyika kwenye uwanja wa Shule Sekondari ya…

Jafo awakoromea watendaji wanaofanya urasimu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira alhaj,Dkt.Selemani Jafo amekemea watendaji wa Serikali wanaofanya urasimu katika kuchelewesha nyaraka za wawekezaji ili kuwekeza nchini. Aidha ameeleza Tanzania ni nchi ya mfano yenye amani na…

Waziri Chana akoshwa na ubunifu tamasha la kitamaduni la Kimasai

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana ameupongeza uongozi wa Wonderland Afrika na View Point Adventures Safaris LTD kwa ushirikiano waliouonesha wa kubuni Tamasha la Kiutamaduni la Kimasai linaloitwa Masai Festival kama zao jipya la Utalii wa Kiutamaduni….