JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kuelekea Kombe la Dunia: Tembo Warriors wajifua kambini Uturuki

Timu ya Taifa ya Soka kwa Walemavu, Tembo Warriors imeendelea na maandalizi yao wakiwa kambi maalum nchini Uturuki waliyoandaliwa na Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kabla ya Oktoba Mosi kuanza mechi yao ya kwanza ya Kombe la…

Benki ya Dunia yaridhishwa na kasi ya huduma za mahakama

Na Mary Gwera,JamhuriMedia Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika anayeshughulikia Ukuzaji wa Uchumi na Taasisi kutoka Benki ya Dunia (WB), Bw. Asad Alam amepongeza hatua ya uboreshaji wa huduma za utoaji haki nchini huku akiahidi kuwa Benki hiyo itaendelea kuunga mkono…

Nini kinafichwa nyuma ya stempu za ushuru?

Na Joe Beda Rupia,JamhuriMedia Mwaka 2017, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ilitangaza zaburi ya kimataifa ya usambazaji, ufungaji na uendeshaji wa mfumo wa stempu za ushuru za kielektroniki. SICPA, kampuni ya Uswisi inayomilikiwa na familia iliyoiasisi, ilipata zabuni hiyo na…

Trioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini

Angela Msimbira,JamhuriMedia,Arusha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya elimu nchini Ameyasema hayo leo tarehe 24…

Polisi yawashikilia watuhumiwa 15 kwa mauaji, wizi wa mifugo Tunduru

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi,JamhuriMedia,Tunduru Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo nchini kinawashikilia watuhumiwa 15 waliohusika katika tukio la mauaji ya wafugaji katika kijiji cha Mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma….