Latest Posts
Waliovamia msitu wa Bondo watakiwa kuondoka
Wananchi waliovamia Hifadhi ya Msitu wa Bondo wametakiwa kuondoka ndani ya hifadhi hiyo ifikapo Desemba 30,2022. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii, alipokuwa akijibu swali la mbunge…
Global Fund yaunga mkono Serikali kukabiliana na magonjwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkaguzi kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Kupiga Vita UKIMWI, TB na Malaria (GLOBAL FUND), Andrew Hammond ofisini kwake jijini…





