Latest Posts
Mashambulizi makubwa ya Urusi yaua 10 Ukraine
Ukraine imesema Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni usiku wa kuamkia leo dhidi ya Ukraine na kuua watu 10. Wengine 38 wamejeruhiwa, majengo kadhaa yakiwemo makaazi ya watu pia yameharibiwa ikiwemo katika mji mkuu Kiev. Maafisa wa Ukraine wamesema hayo…
Rwanda na Msumbiji zatia saini makubaliano ya usalama
Wakati wa ziara rasmi ya Rais Daniel Chapo mjini Kigali, mataifa hayo mawili yamefikia makubaliano ya amani na usalama ambayo yanatazamiwa kuimarisha ushirikiano wao katika kukabiliana na changamoto za kiusalama. Rwanda na Msumbiji zimetia saini makubaliano ya “amani na usalama”…
Marekani yamfuta kazi Mkurugenzi wa Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa
Ikulu ya Marekani imemfuta kazi Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC), Dkt. Susan Monarez, baada ya kukataa kujiuzulu siku ya Jumatano. Kupitia taarifa rasmi, Ikulu ilieleza kuwa Dkt. Monarez “hailingani na ajenda ya rais,” na kwa sababu…
Kesi ya kupinga kutoteuliwa Mpina yaendelea mahakamani
Mwanasheria Mkuu wa ACT Wazalendo Omar Said amesema kwamba ACT Wazendo haikubaliani na maamuzi ya kutenguliwa kwa mgombea urais Luahaga Mpina kwa kile walichodai kuwa yamefanywa kinyume na Sheria na Katiba. “Tume Huru ya Uchaguzi(INEC) haina mamlaka kisheria kumuengua mgombea…
Waziri Pembe ahimiza amani wakati wa uchaguzi
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma, amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha Amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ili uchaguzi huo ufanyike katika hali ya utulivu. Akizungumza katika…
Naombeni ridhaa yenu Jimbo la Mbulu Vijijini nilete mabadiliko -Mgombea CHAUMMA
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mkoani Manyara, kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Mwalimu Stephen Siasi, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa nafasi ya Ubunge katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu. Mwalimu Siasi amekabidhi…