JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TIC yajitosa ‘uchumi’ wa gesi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati mjadala kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta ya petroli na bidhaa mbalimbali ukitamalaki nchini, Kituo cha Uwekezaji (TIC) kinatarajia kushuhudia kujengwa kwa vituo 12 vya kubadilisha mifumo ya matumizi ya nishati katika magari….

Mchwa waliomulikwa ripoti ya CAG watafutiwe mwarobaini 

Ripoti ya mwaka wa fedha wa 2020/2021 ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, imeibua madudu mengi katika maeneo ya kiutendaji serikalini. Mathalani kupitia ripoti hiyo iliyowasilishwa bungeni Aprili 12, 2022 imebainika kuwa mamlaka 24…

Ijue tofauti ya wakili, mwanasheria

Na Bashir Yakub Kila wakili ni mwanasheria, lakini si kila mwanasheria ni wakili.  Wakili ni zaidi ya mwanasheria. Ili uwe wakili unaanza kuwa mwanasheria.  Mwanasheria ni mtu yeyote aliyesoma kozi ya sheria katika chuo kinachotambulika na kuhitimu, kufaulu na kupata…

Umuhimu demokrasia vyama vingi kwa maendeleo ya taifa

MOROGORO Na Everest Mnyele Mfumo wa siasa wa demokrasia ya vyama vingi ni mfumo uliozoeleka kwa nchi za Magharibi hata kabla ya kuja kututawala. Kwetu Waafrika, mfumo huu ulikuwapo tangu siku nyingi ukijulikana kama koo, makabila n.k. kwa kila moja…

MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA… MOI yajivunia upasuaji  wa ubongo bila kufungua fuvu

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Kwa kipindi cha cha mwaka mmoja Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI) imefanikiwa kuwafanyia upasuaji wagonjwa 165 wa ubongo bila kupasua fuvu la kichwa. Mafanikio hayo yamefikiwa baada ya Serikali ya Awamu ya Sita…

Wataalamu wazawa JKCI wafanya maajabu

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Kwa mara ya kwanza wataalamu wazawa wa magonjwa ya moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wamezibua mishipa miwili inayopeleka damu kwa wakati mmoja kwenye…